Bodi ya Maziwa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,

TDB Logo
Karibu TDB
George M. Msalya photo
Prof. George M. Msalya
MSAJILI

: george.msalya@tdb.go.tz

: +255 763550246

Bodi ya Maziwa ya Tanzania (TDB) imeundwa na kupewa uwezo na Sheria ya Maziwa. (Sura 262) ya mwaka 2004. Bodi ilizinduliwa tarehe 11 Novemba 2005 kama mamlaka ya kuendeleza, kusimamia na kukuza sekta ya maziwa nchini Tanzania. Hii inafanya historia ya Bodi ya muda mfupi sana lakini historia ya udhibiti wa Sekta ya Maziwa Tanzania inatoka nyuma kama invyoonyeshwa hapa chini.

Sekta ya maziwa nchini Tanzania imepitia hatua mbalimbali za maendeleo kabla na baada ya uhuru.