Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiangalia bidhaa itokanayo na maziwa wakati akifunga wiki ya maziwa kitaifa mkoani Morogoro Mei Mosi 2025
Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akipokea zawadi kutoka kwa Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania Prof. George Msalya mara baada ya kufunga wiki ya maziwa Kitaifa Mkoani Morogoro Juni Mosi 2025
DKT. ASHATU KIKAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA MOROGORO
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Ashatu Kijaji akiwa katika picha ya pamoja na Wafugaji wa Mkoa wa Morogoro wakati wa kilele cha Maadhimisho ya wiki ya maziwa yaliyofanyika kitaifa mkoani Morogoro Juni Mosi 2025
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima akipokea zawadi ya Maziwa kutoka kwa Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania Prof. George Msalya wakati alipomtembelea Ofisini kwake Kwa lengo la kujitambulisha na kumwalika kuwa Mgeni Rasmi wa Ufunguzi wa Maadhimisho ya 28 ya Wiki ya Maziwa Kitaifa yanayotarajiwa kufanyika Mei 28, 2025 katika Viwanja vya Shule ya Msingi Kiwanja Cha Ndege (Fire)