Msajili wa Taasisi ya Bodi ya Maziwa nchini Prof. George Msalya akichangia jambo wakati wa kikao kazi hicho kilichofanyika Aprili 15, 2025 jijini Dodoma.
Sehemu ya Watumishi wa Taasisi ya Bodi ya Maziwa nchini walioshiriki katika kikaokazi cha Menejimenti pamoja na watumishi wake kilichofanyika Aprili 15, 2025 jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Mhina akizungumza jambo wakati wa kikao kazi cha Menejimenti pamoja na watumishi wote wa Taasisi ya Bodi ya Maziwa Tanzania kilichofanyika Aprili 15, 2025 jijini Dodoma.
WATAKUWEPO WIKI YA MAZIWA MOROGORO
WATAKUWEPO WIKI YA MAZIWA MOROGORO
Picha ni baadhi ya wadau wa Tasnia ya Maziwa walioshiriki Majadiliano ya Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabia ya nchi, yaliofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli , Machi 18, 2025, Dodoma.
Mratibu na Kiongozi wa Kiufundi wa Mradi wa Mageuzi ya Tasnia ya Maziwa, Ndg. Lazaro Kapella, akifanya majumuisho ya Mada zilizowawasilishwa siku ya Kwanza, katika Warsha ya kutambulisha Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabia ya nchi, kilichofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli, Machi 18, 2025, Dodoma
Afisa Ununuzi Mwandamizi Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Paul Kadonya, akielekeza kwa kina Miongozo ya Ununuzi na Mipangilio ya Ununuzi kwa Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabia ya nchi (C-SDTP), katika Warsha ya kutambulisha Mradi huo, iliyofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli, Machi 18, 2025, Dodoma
Mtaalamu Mkuu wa Kimataifa wa Ufundi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kwa Maendeleo (ICT4D) - Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bi. Brenda Gunde, akitoa Muhtasari wa Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabia ya nchi (C-SDTP), katika Warsha ya kutambulisha Mradi huo, iliyofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli, Machi 18, 2025, Dodoma