Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania Prof. George Msalya
TDB yadhamiria kurasimisha Tasnia ya Maziwa kwa Vitendo
Picha ya pamoja ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Ashatu Kijaji pamoja na Viongozi wengine mara baada ya kukabidhi kifaa maalumu cha kubebea maziwa kwa Meneja Masoko wa Mama O Dairies Bw. Kephas Gembe wakati wa Maadhimisho ya 28 ya Wiki ya Maziwa Kitaifa yaliyofanyika Mkoani Morogoro Juni Mosi 2025
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Ashatu Kijaji akikabidhi cheti cha Usajili kwa Mdau wa Maziwa wakati wa Maadhimisho ya 28 ya Wiki ya Maziwa Mkoani Morogoro hivi karibuni
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu KIjaji akimpongeza Mkuu wa Kiwanda cha kusindika Maziwa cha Kingolwira cha mjini Morogoro kwa kupata ushindi wa kwanza katika kipengele cha Msindikaji bora mdogo kwa mwaka 2024/25 waakati wa Wiki ya Maziwa 20225
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiangalia bidhaa itokanayo na maziwa wakati akifunga wiki ya maziwa kitaifa mkoani Morogoro Mei Mosi 2025
Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akipokea zawadi kutoka kwa Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania Prof. George Msalya mara baada ya kufunga wiki ya maziwa Kitaifa Mkoani Morogoro Juni Mosi 2025