Bodi ya Maziwa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,

TDB Logo
Dira na Dhamira ya Bodi

Dira

Kuwa Taasisi ya udhibiti, yenye ufanisi, inayojitosheleza, inayohimili ushindani na kuleta maendeleo endelevu ya Tasnia ya maziwa.

 

Dhamira

Kukuza na kuendeleza Tasnia ya maziwa iliyo endelevu na yenye ushindani kwa kuwaratibu wadau, kutoa huduma za udhibiti na ushauri kwa ufanisi na hivyo kuchangia maisha na uchumi wa Taifa.