WATAKUWEPO WIKI YA MAZIWA MOROGORO
WATAKUWEPO WIKI YA MAZIWA MOROGORO
Picha ni baadhi ya wadau wa Tasnia ya Maziwa walioshiriki Majadiliano ya Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabia ya nchi, yaliofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli , Machi 18, 2025, Dodoma.
Mratibu na Kiongozi wa Kiufundi wa Mradi wa Mageuzi ya Tasnia ya Maziwa, Ndg. Lazaro Kapella, akifanya majumuisho ya Mada zilizowawasilishwa siku ya Kwanza, katika Warsha ya kutambulisha Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabia ya nchi, kilichofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli, Machi 18, 2025, Dodoma
Afisa Ununuzi Mwandamizi Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Paul Kadonya, akielekeza kwa kina Miongozo ya Ununuzi na Mipangilio ya Ununuzi kwa Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabia ya nchi (C-SDTP), katika Warsha ya kutambulisha Mradi huo, iliyofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli, Machi 18, 2025, Dodoma
Mtaalamu Mkuu wa Kimataifa wa Ufundi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kwa Maendeleo (ICT4D) - Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bi. Brenda Gunde, akitoa Muhtasari wa Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabia ya nchi (C-SDTP), katika Warsha ya kutambulisha Mradi huo, iliyofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli, Machi 18, 2025, Dodoma
Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania, Prof. George Msalya, akikaribisha wachangia mada kwa ajili ya Majadiliano ya Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabia ya nchi (C-SDTP), katika Warsha ya kutambulisha Mradi huo, iliyofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli, Machi 18, 2025, Dodoma
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe, akihutubia wadau wa Tasnia ya Maziwa, ni katika Warsha ya kutambulisha Mradi wa Mageuzi wa Tasnia ya Maziwa na Mabadiriko ya Tabia ya nchi, kilichofanyika katika Ukumbi wa Rafiki Hoteli, Machi 17, 2025, Dodoma.
Msajili akutana na Mwakilishi wa Kampuni ya Bajaji nchini